Thursday, 10 January 2019

Alisema John Bocco

Picha ya Sport BC     รขˆš
Mshambuliaji wa klabu ya Simba Sc na nahodha wa klabu hiyo John Bocco amewaahidi mashabiki wa wa klabu hiyo kuwa siku ya Jumamosi wataifunga klabu ya Js Saoura kwakuwa wamejipanga vya kutosha ingawa mchezo utakuwa mgumu sapoti na maombi ya mashabiki ni muhimu 

No comments:

Post a Comment